About Us Home /About Us

Markazil Imaamil Muzaniy Foundation, iliopo mtaa wa Butiama kata ya Vingunguti Dar-es salaam, inafanya shughuli zake katika maeneo mbalimbali hapa Tanzania.

Markaz husimamia shughuli zake kwa kuzingatia Qur-an na Sunnah na hilo hufanywa kwa kuhakikisha waumini wanakuwa katika mwenendo sahihi wa wema waliotangulia (Sallaf-Swaleh)